Watoto 70 Kati ya 176 wamepatiwa huduma ya matibabu ya utapiamlo mkali wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.

Halimashauri ya wilaya ya mpwapwa mkoani Dodoma kwa kipindi cha October 2020 hadi sasa  2021 jumla ya watoto 70 Kati ya 176 wamepatiwa huduma ya matibabu ya utapiamlo mkali ili kupunguza vifo vya watoto wadogo vinavyotokana na Lishe duni huku kwa kipindi hicho jumla ya wakinamama wajawazito 8670 Kati ya  10197 wamepatiwa elimu ya Lishe